Friday, May 24, 2013

(News) Usikose kutizama Big Brother THE CHASE inaanza Jumapili hii


(Video of the week) Tz All Female Stars - Kidole Kimoja (FISTULA)

New website "BESTIZO" coming soon


NATOA ZAWADI KWA WASOMAJI WANGU WOTE WA DJCHOKAblog MLIOKO KOTE DUNIANI.


Kama wewe ni mtembeleaji wa DJCHOKAblog basi naomba hivi ukibahatika kuwa mtembeleaji wa blog na pembeni ukaona ile views imeonyesha 7000000 naomba uipige picha halafu unitumie hiyo picha kwenye email yangu hii djchoka84@yahoo.com kama unavyoiona picha hii hapa nilivyofanya au kwa njia yako yoyote ile.

(News) MKALI WA VODACOM:

Je, unajiamini kuwa na kitu kinachokufanya uwe mkali mtarajiwa? Vodacom inatafuta mtangazaji mpya wa kipindi cha TV kitakachoanza hivi karibuni. Soma namna ya kushiriki na unaweza kuwa mmoja ya watangazaji wa kipindi hiki.
Kazi ni kwako.

(Photo) Stay Tuned "JOH MAKINI"

(PICTURE OF THE WEEK) Lady JAy Dee & Mr II aka SUGU

(Album Cover & Audio) HII NDIO ALBUM YA KATO BY WAKUVWANGA (ORIJINO KOMEDI)

Ningependa kuchukua fursa hii kukushirikisha kwenye kampeni yetu ya kwanza kutka kampuni hii ambayo inahusisha usambazwaji wa DVD za album ya kwanza ya Wakuvwanga inayojulikana kama KATO.Album hii inatarajiwa kuzinduliwa na kuanza kuuzwa tarehe 31st May 2013 siku ya ijumaa saa 12 asubuhi,wewe kama mmoja kwenye timu ya wapiganiaji haki za wasanii na una uwezo wa kuitangaza kazi hii tumeona tuwasiliane nawe moja kwa moja katika kutoa ujumbe huu kwa wananchi na wapenzi wako.
tunategemea kutoa pikipiki 5 wakati wa uuzaji huu ambazo zitapatikana kwa mtu yeyote ambaye atapata bahati ya kununua DVD yenye label ya pikipiki ndani.Tutakuwa na magari 5 abayo yatazunguka mji wa Dar Es Salaam kwa siku zote tatu kwa wananchi watakaonunua rejareja(ijumaa,jumamosi na jumapili) na kwa watakaotaka kununua kwa jumla watatakiwa kupika simu zifuatazo na kupewa maelekezo ya wapi kwenda kulipia mzigo watakaotaka na kuupata.
0656-621807 Famy
0718-852828 Waku
0717-792023 Mwasu

Tumeshatoa video 2 (angwisa na vatu) na audio zake kufanyia promotion hii.

Thursday, May 23, 2013

(Photo) 31.5.13 The Vibe Club MBEYA.


(Photo) LEO KIBURUDANI ZAIDI at MAISHANI NA TWANGA PEPETA KATIKA KUKUPA BURUDANI ILE UNAYOITAKA NA ULIYOIKUSUDIA!


(News) Ethiopian Airline wadhamini wa usafiri wa Anga ZIFF 2013 na Skylight Band Kutumbuiza

 Kampuni ya usafiri wa anga.. Ethiopian airlines imejitokeza kudhamini Tamasha la 16 la filamu Tanzania, ZIFF linalotazamiwa kufanyika Zanzibar, June 29 hadi July 7, 2013. Meneja na Mkurugenzi msaidizi wa Tamasha hilo Daniel Nyalusi maarufu kwa kifupisho cha Dean alisema wanajisikia furaha sana kushirikiana na Kampuni hiyo, na kwamba anatarajia ushirikiano huo utafungua njia kwa makampuni mengine.

(Photo) B.M.F (Bongo Mad Flavaz) Ndani Ya Ambassadors Lounge Ijumaa Hii (24.05.13)

B.M.F (Bongo Mad Flavaz) Ndani Ya Ambassadors Lounge Ijumaa Hii (24.05.13),Dullayo,Mirror & Bonge La Nyau Kwenye Stage,Kwenye Wheeks Kama Kawa Skills/Dj Steve B Na Dj Bulla,Entry 10,000 Kuanzia Saa 3 Usiku...Mpango Ndio Huo

(News) Wakulima sasa kupata taarifa za kilimo kupitia simu

Balozi wa Finland nchini Tanzania, Sinikka Antila akisalimiana na Afisa maendeleo ya Biashara wa Vodacom Tanzania Nixon Bonaventure wakati wa hafla ya kuanzisha Ushirikiano kati ya kampuni hiyo na kampuni ya Sibenonke ya nchini Finland. Pamoja nao katika picha ni Waziri wa Mahusiano ya Ulaya na Biashara za kimataifa Alexander Stubb (katikati). Waziri wa maendeleo ya kimataifa Heidi Hautala ( wa pili kutoka kushoto) na Mkurugenzi wa kampuni ya Sibenonke Uwe Schwarz. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa balozi huyo. 

Waziri wa mahusiano ya Ulaya na Biashara za kimataifa wa Finland, Alexander Stubb, akifanya mahojiano na Meneja Mahusiano wa Vodacom Tanzania, Bw.Matina Nkurlu katika hafla ya kuingia katika Ushirikiano utakao wawezesha wakulima kupata taarifa za kilimo kupitia simu za mkononi. Pamoja nao ni Waziri wa maendeleo ya kimataifa Heidi Hautala (wa pili kutoka kulia) na Mkurugenzi wa kampuni ya Sibenonke Uwe Schwarz.

(Audio) Last Warning - Nyinda Nyinda

Last Warning Ni kundi lenye maskani yake Arusha Tanzania wanakuja na ngoma mpya toka Noizmekah studios pini linaitwa Nyinda Nyinda

(Official Music Video) Amazon - Mamito

(Audio) Abby Skills ft. Chege Chigunda - Shani na Jenny


(Photo) UNPREDICTABLE PARTY in UK

(Official Music Video) OCTOPIZZO - STAY SO FLY

(Introducing) DJ SAM MARK New DJ in town

Anajulikana kwa jina lakutafutia ugali DJ SAM MARK, ni DJ mpya machoni mwa wabongo ila Sam yeye udj alijifunzia kule kwa wenzetu Nairobi Kenya kwenye Academy moja inayoitwa Mixx Master. Ila kwa sasa yupo hapa mjini na mnaotembelea Club Bilicanas basi mnaweza kusikia milazo ya DJ SAM MARK hapo ila anasema yupo Bills kwa muda na mbali na udj pia kwa sasa anatengeneza Mix Tape za video so mkae mkao wa kuziona DVD Mix Tape hizo.
Unaweza kumcheck DJ Sam Mark kwenye mitandao ya kijamii kama
Facebook/djsam mark
Twitter/djsammark

(New Blog) ESCO ONE WEAR

Wednesday, May 22, 2013

(Audio) T3 - Give me your love

(Audio) The Trio - Fall in love & Pambo


LYRICS

(Audio) M-Rap ft. Deddy - Attention

(News) Mwana FA awataka wanaume kubadili mtazamo kuhusu fistula

Msanii mahiri wa kizazi kipya Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA ambae ni Balozi wa Chapa Vodacom amesema hadhi na heshima ya mwanaume katika jamii  itakuwa na uzito mbele ya uso wa jamii kwa wao kuwa tayari kutafuta suluhu ya changamoto zinazoikabili jamii na wala si vinginevyo.

(Photo) MWANA FA Presents THE FINEST at NATIONAL MUSEUM THEATRE Dar es Salaam


(Photo) IZZO BIZNESS ndani ya CLUB VIBE Mbeya mwisho wa mwezi huu

Kwa wakazi wote wa Mbeya na mashabiki wa Izzo Bizness mtoto wenu atashuka hapo siku ya tarehe 31 katika ukumbi wa CLUB VIBE akiwa ameambatana na wasanii wenzake kwa kiingilio cha elfu 7 tu.

(Photo) Baada ya Dar Live sasa MZIKI GANI unaelekea NEW MAISHA CLUB Jumapili hii..


(Photo) AY ndani ya LONDON kwenye TRAFFIC LIGHT PARTY


Tuesday, May 21, 2013

(Photo's) Jiachie na camera ya DJCHOKAblog at SAMAKI SAMAKI Mlimani City

Jana msanii wa bongo fleva ambaye nyota yake ilitokea kwenye shindano la Bongo Star Search hapa namzungumzia BELLA KOMBO alikuwa anasherehekea siku yake yakuzaliwa pande ya Samaki Samaki Mlimani City. Ilikuwa ni Dinner Party akaalika washkaji zake kadhaa na kula nao kwa pamoja na siku ikaishia hapo. 

(News) Hawa ndio wasanii waliojiunga kwenye chama cha CHADEMA.

Mh Joseph Mbilinyi aka SUGU akiwa na Prof Jay  

K wa Mapacha kushoto nae ni moja ya wasanii waliojiunga CHADEMA.

(Official Music Video) Juma Nature ft TundaMan - Haipotei

(Official Music Video) Witnesz ft Ochu Sheggy - Zaga zaga

(Audio) THE RETURN OF THE TRANSFORM MASTER MIXX VOL 1

(Audio) Young Kacha ft. Darassa & Milltana - Traveller

(Official Music Video) Tz All Female Stars- Kidole Kimoja (FISTULA)

(Video) Linex ft. Wyre studio time

(Official Music Video) Camp Mulla - oH mA gAd ft WondaBoy

(Audio) MARIAMO - DONLEE MAKOLELA



(Audio) Ambulance - Mbuzi wa kafara

(Audio) PDC Crew aka Pinda Da Chronics - Long Time

PDC Crew aka Pinda Da Chronics Kundi linaloundwa na LeeShu, Medic, KingNdela na ElevenOne toka pande za Sombetini Arusha Tanzania wanadrop joint mpya "Long Time" liloundwa na Producer Black na mix kufanyika Noizmekah Studio chin ya defxtro, pata kusikiliza HAPA na kwa mawasiliano zaid chek na PDC kupitia +255 714 283 324 .Powered by www.vmgafrica.com

(Photo) MISS IFM 2013 ni Jumamosi hii ndani ya THE GOLDEN JUBILEE TOWERS (Near PPF Tower)


Sunday, May 19, 2013

AFRO URBAN PARTY EAST MEETS WEST

AFRO URBAN PARTY EAST MEETS WEST..Bring your friends along to this memorable event..Calling ALL AFRICAN UNDER ONE ROOF in the South of the UK. Djs bringing you the best mix of Music from the Motherland. Its going to be heavy..so make a date and don't be late.. See You there People..!DAMAGE IS £5 ONLY BEFORE 11PM MORE AFTER

(Official Video) Chali Stinji - Pizo Dizo

(Audio) Huu ni wimbo maalumu wa kuamasisha ugonjwa wa FISTULA umeimbwa na baadhi ya wasanii wa kike TANZANIA.


Wimbo wa kuamasisha ugonjwa wa FISTULA wa wanawake kwamba kwa sasa unatibika …umeimbwa na baadhi ya wasanii wa kike wote tanzania.>
MWASITI, VUMILIA ,DAYNA, RECHO, THE TRIO, LINAH, MAUNDA ZORRO, MENINAH, FEZA KESSY, KEYSHA, VIDA, PIPI, VANESSA MDEE, QUEEN DARLEEN, ZUHURA, BABY J, SUNDY GAGA= toa sapoti kwa kuamasisha wimbo kwamba FISTULA inatibika,Ahsante
Studio= SURROUND SOUND
Prd= NASH DESIGNER

(Video) Yaliyojiri jana DAR LIVE kwenye show ya DIAMOND PLATNUMZ & NAY WA MITEGO

(News) ZIFF yatangaza Filamu zilizochag​uliwa

The 16th ZIFF official selection has just been announced. A total of 80 films are featured in 4 categories:

ZIFF Competition, Sembene Prize, Bongo Movies, Out of Competition.

The festival kicks off on 29th June until 7th July.

Here's the complete selection of ZIFF 2013 films including the country and the director for easy reference.

(Official Video) Amour Genius - Bongo Movie

Artist : Amour Genius
Track : Bongo Movie
Prod. : Fundi Samweli
Filmed,  Edited & Directed By Jerry Mushala

(Cheka na KITIME) ANACONDA KUMPA KIJITI ANANENEPA

Watafiti makini wa hii blog isiyo makini ambayo inakoelekea ni wazi kubaya maana maelfu ya wasomaji wa blog hii iko siku watagoma kabisa kusoma chochota kilicho humu labda wawe wanalipwa kwa dola, watafiti wamegundua kitu ambacho ingekuwa blog nyingine ingejipendekeza na kuziita BREAKING NEWSSSSSSS. Yaani watafiti wa blog hii ni kiboko, mi mwenyewe Rais wa blog hii nimewavulia kofia. Baada ya wiki kadhaa kusikia mwanamuziki maarufu Binti Machozi akiwa na sifa mpya ya kuitwa ANACONDA, watafiti waandishi wetu, wamegundua msanii mwingine ambaye yeye anajiita ANANENEPA. Msanii huyu ambaye si mpya kabisa amepewa jina hilo na mamia ya watu waliogundua kuwa amekuwa habaniwi nyimbo zake, na amekuwa anapata kazi nyingi sirikalini , ambako mwenyewe amesema zinatokana na rushwa. ANANENEPA ambae ametamba kuwa ni msanii ambaye ameenda Ulaya kuliko Mtanzania yoyote duniani, pia ameunga mkono watu kupewa vijiti, hasa kwa kuwa amekuwa anapata tabu sana kupata vijiti baada ya kula nyama.. Ngoja tuachie hapa maana ANANENEPA ametishia kwenda Mahakamani kama tutaendelea kuandika habari zake. Na ukichukulia hata jana alienda Mahakamani kusikiliza kesi mbalimbali, na Jumapili alienda Mahakamani kuangalia majengo tusingependa aende tena huko....

Saturday, May 18, 2013

(Photo) JCB'S WEDDING PARTY ARUSHA

Msanii wa Hip Hop nchini anayetokea mkoa wa Arusha "JCB" usiku huu kule Arusha ni sherehe ya harusi yake ambayo harusi hiyo waliifunga wiki kadhaa huko nyuma, sasa leo ndio ile sherehe yenyewe ambayo inafanyika pande za BOT iliyopo kule Arusha. Pichani ni JCB akiwa na mke wake anayeitwa Diana Jorgensen pamoja na wasimamizi wao.

(Audio) WAJASILIARYMES - HAJAONGEA NA MSHUA