UHURU DAY KWA MWANADADA JAY DEE PART 3.

Thursday, December 10, 2009

Gerad & Shydel kutoka clouds fm

Braza nanilii & Shydel

dj venture & b12

UHURU DAY KWA MWANADADA JAY DEE PART 4.


Shairoz, Elizabeth & Zamaradi.

Watu wengine bwana swaga zao, sasa chupa ya mtoto yamaziwa yeye ananywea bia, anaitwa MC Babu Ayubu

Jafaray & Elizabeth

Eliza & Shairoz

Eliza & Moracka

Eliza & Gerad Hando

Lady Jay Dee akiwaonyesha wageni waalikwa baadhi ya picha zilizowekwa ukutani.

Hii ni meza ya dada yetu nadhani mnaona hizo tuzo.

Dada yetu Khadija Mwanamboka

UHURU DAY KWA MWANADADA JAY DEE PART 5.

Huyu jamaa bwana sitomsahau, sijui alinikubali ndio maana akawa ananipendelea kinywaji kila nikienda, daaah

Moracka, B12 & Nas 3

Huu mduara bwana daaah watu walisepetuka kweliiiiiiiiiiiiiii, mmemuona Jaffaray aliyekaa kwenye kiti.

UHURU DAY KWA MWANADADA JAY DEE PART 6.

Marlaw akiwa na braza naniliii

B12, Nuru & Choka

dj Steve B, Elizabeth BBA 4, Moracka & b12

Nuru, Moracka & Lady Jay Dee

Nuru & Moracka

Kevin Mbogo (Chief Executive Officer - Active Finance Limited) & DJ Steve B (Clouds FM)

Marlaw, Jay Dee & Moracka

Gadna G. Habash, Jay Dee & Shairoz

MSONDO NGOMA WALIVYOTAMBULISHA ALBUM YAO.

Waimbaji wa bendi ya Msondo music wakiwajibika wakati wa onesho lao la utambulisho wa albamu yao ya huna shukrani, lililofanyika Dar es salaam jana kushoto ni Isihaka Katima na Juma Katundu.(Picha na Rajabu Mhamila)

Muimbaji wa bendi ya Africani stars Twanga pepeta Saulo John 'Alex Fagason' akiwajibika wakati wa kuisindikiza bendi ya msondo kutambulisha albamu yakle ya huna shukrani.(Picha na Rajabu Mhamila)

Mnenguaji wa bendi ya msondo ngoma music, Amina Said 'Queen Emmy' akiwajibika wakati wa onesho la kutambulisha albam ya bendi hiyo, Dar es salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)

Wanenguaji wa bendi ya Twanga pepeta wakiwajibika wakati wa onesho la kuisindikiza bendi ya Msondo kutambulisha albamu yake ya huna Shukrani.(Picha na Rajabu Mhamila)

CPWAA ALIVYOKAMILISHA NDOTO ZAKE PALE MOVENPICK.

Cpwaa akiingia kwa ukumbi akisalimiana na wadau.

Show ikaanza na aliwakilisha ipasavyo.

Camera za EATV zilikuwa ON muda wote kuchukua kumbukumbu

DJ Mafuvuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kutoka EA Radio & TV

CP alimwalika mama yake kuja kucheki mambo anayoyafanya mwanae akiwa jukwanii, mama alifurahi sana na kumpongeza mwanae wa kipekee, na mimi nilikuwa sijui bwana kumbe huyu mama anamtoto mmoja tu ambaye ni CP tuuuuu.

CP akiwa na Producer Luchi

CP akiwana na Manager wake Odile

CP akiwa na Alex Galinoma (Promotion & Campaign Co-ordinator EATV)

Dullah wa Planet Bongo (EATV) akimfanyia enterview Mangwear

Hapa walikuwa wanaojiwa ni Shaa na Dj Choka

Jamaa kajipanga bwana, mpiga picha mahiri kutoka EATV

KUJIACHIA NA WASHKAJI.

Dj Choka akiwa kwenye pozi la kujiiba.

Quick Rocka & Producer Dunga

B12 & Quick

Mdimu & Albino Fulani

Dunga & Choka

Dominic Nyalifa na braza kutoka EATV

Mangwear & Steve Tenga

Choka & Nuru

Neema & Annie

Shydel & Sara kwenye pozi kali.

Dullah & Choka

Shydel, Dullah & Sarah

Jamillah, Cpwaa & Romeo

Izzo B, Sirleh & Quick

Izzo, Adamu & Quick

Warembo wakionyesha nembo ya Cpwaa

Vijana wa THT

Kutoka kushoto ni Josh, Dunga mwenye tishet ya njano, AY na John Mahundi

NYIMBO ZILIZOTUFIKIA, HAPPY B,DAY SOLO THANG

Tuesday, December 08, 2009

HEY Whats Good my People?...8 of dec is My Birthday....
To Celebrate, I release this Brand New Single called MTOTO WA DOWN TOWN, Produced by D Money from DownTown Records.
This is my second single from my upcoming 4th Album "I AM TRAVELLAH"...which will contain a dozen of hot Tunes with conscious Lyrics..to be released early next Year 2010!
WISH U ALL MERRY X MASS & HAPPY NEW YEAR!

Mambo vipi,
Pokea kazi yangu mpya inaitwa BED AND BREAKFAST ambayo nimeitengeneza katika studio za B.HITZ MUSIC GROUP chini ya Producer Hermy B.

Mastering ikafanyika katika studio ya OGOPA DEE JAYS KENYA.

Video ya wimbo huu itafanyika mwezi huu ndani ya JOHANNESBURG SOUTH AFRICA na itafanywa na kampuni bora kabisa AFRICA inayojulikana kwa jina la FILM ONLINE ambayo ilimfanya hata mwana muziki kutoka S.A HHP kuchukua tuzo ya BEST VIDEO MTV 2009,Na wameshafanya video nyingi za wanamuziki wa Nigeria pia.

Lengo kuu ni kupiga hatua zaidi katika anga za kimataifa nasi Tanzania tuwepo kwenye level walizokuwepo wengine waliotutangulia kama NIGERIA na SOUTH AFRICA.
Najua yote haya yanafanyika kwa kuwa mnanisupport sana,NAPENDA KUSEMA NAWASHUKURU SANA,MSICHOKE KUNISUPPORT NA SITAWAANGUSHA.

Mtaniwia radhi kwa kuwa kwenye hii track kuna sauti ya dada mmoja yeye hataki kupewa credit zake kwa sababu zake binafsi ndio maana hakuna FEATURING
ila kwa mimi naona ana uwezo sana wa kufanya mambo makubwa katika muziki ndio maana nikamuweka humo.

Lyrics za wimbo huu nitazituma muda wowote kuanzia kesho.

TUFUNGE MWAKA NA KUUANZA MWAKA MPYA NA MZIGO KUTOKA KWA MZEE WA COMMERCIAL AY

BED AND BREAKFAST.........BED AND BREAKFAST
MUCH RESPECT!!!
AY

NYIMBO NYINGINE ZILIZOTUFIKIA NI PAMOJA NA WIMBO MPYA WA
STEVE ft BABY BOY - ONE LOVE
K-LYNE - UM NOT A FLIRT
GOZBY - ZAKAYO

HONGERA BROTHER.

Huyu bro wangu bwana juzi kati hapo alipata nondo yake ya Bachelor of Business Administration with Honours pale UDSM, anatambulika kwa jina la Agonza Rwegasira.
HONGERA SANA BRAZA

TUMETOKA KIDOGO.

Leo hawa majamaa wamechukua ndege na kuelekea South Africa mji wa Captown kwa ajili ya show ya tarehe 11 na 12 mwezi huu, show hiyo itafanyika Daban na wanategemea kurudi jumanne ijayo.

SHUGHULI NZIMA NI LEO.

Shughuli nzima itaanza na wageni waalikwa (V.I.P) kuanzia saa 2 usiku mpaka 5 usiku na baadae kwa kiingilio cha 15,000 TSH kwa yeyote atayependa kuingia. Usiku huo kutakuwa na uzinduzi wa tovuti zangu 2, mavazi,documentary fupi, nyimbo mpya na video zake bila kusahau Album Preview na perfomance moja ya ukweliiiiii!
--
Na baada ya hapo, ngoma zote za ukweli zitapigwa na maDJ wakali kutoka jijini Dar, na shangwe hilo litaendelea mpaka kuchwele. looking forward to see you there.

NGOMA DROO HAPA.

Wiki iliyopita niliwapambanisha wadada ili kumpata Beauty wa wiki ile, matokeo yakaonyesha ngoma droo. Teddy alipata kura 23 sawa na asilimia (50%), na Cynthia alipata kura 23 sawa na asilimia (50%), so hawa wadada wote wako poa kwa mujibu wa kura zetu wadau.

G5 CLICK ONLINE MUSIC STORE.

Kama ilivyotangazwa na G5 CLICK kupitia CLOUDS FM wakati wa interview kwenye kipindi cha XXL (Extra Extra Large), G5 CLICK ENTERTAINMENT COMPANY itaanza kuuza na kusambaza Bongo music, movies na videos za muziki wa kibongo, Artwork, Ring tones, E-Books na Tickets za events mbalimbali kupitia social network website yake (www.G5click.com) kwa makubaliano na wahusika..
Huduma hii itakua online kwanzia januari 2010 kwenye FACEBOOK, G5CLICK na MY SPACE, watu wataweza kununua miziki na vitu vingine vingi kwenye social networks kwa kutumia ATM CARDS zinazofanya kazi online-mfano. VISA
NDANI YA STORE:
BONGO MUSIC – Singles na Albums
E-BOOKS – hivi ni vitabu ambavyo vipo kwenye mfumo wa PDF
ARTWORK – Artist wallpapers, Picha, covers, logos n.k
RINGTONES – Mp3, Mono na Polly tones
TICKETS – Event tickets (Parties, shows, Donations)
MOVIE ZA KIBONGO NA MUSIC

KAMA UNATAKA KUSHIRIKISHWA KWENYE PROJECT HII
TAFADHALI WASILIANA NA SISI KUPITIA:

Phone: +255-714-204490 or +255-713-889878
THANK YOU ALL FOR SUPPORTING G5 CLICK ENTERTAINMENT
By G5 CLICK ENTERTAINMENT © 2010

LEO NDIO LEO NJOO UBURUDIKE NA MSONDO NGOMA.

BENDI kongwe ya muziki wa dansi nchini Msondo Music bandi leo watafanya utambulisho wa albam yao mpya ya huna shukrani kwa sataili ambayo aijawai kufanyika nchini imefahamika
Msemaji wa bendi hiyo Rajabu Mhamila 'Super D' ameliambia gazeti hili kwamba utafanyika kesho jumanne Desemba 8, katika ukumbi wao wa Amana uliopo Ilala
Alisema katika uzinduzi huo bendi ya African Star wana wa 'Twanga Pepeta' yenye mashabiki lukuki nchini watawasindikiza ndugu zao wa Msondo
Akielezea maandalizi zaidi Mhamila alisema licha ya kusindikizwa na bendi hiyo pia wamejipanga kutoa zawadi kwa mashabiki wao, ambapo kila mpenzi atakaekata tiketi ya kuingia ukumbini atapewa zawadi ya albam yao mpya,
Alisema nyimbo zitakazotambulishwa siku hiyo ni pamoja na wimbo uliobeba albam hiyo, Huna shukrani uliotungwa na Saidi Mabera,Kiapo (husein jumbe) aki yangu ipo wapi (Uluka Uvuluge) Mama Cos, uliotungwa na marehemu (Josephe Maina) Albino (Juma Katundu) Machimbo Isihaka Kitima dj papa upanga) na Cheo ni Dhamana (Eddo Sanga)
Aidha aliwataja wanenguaji watakaokuwa wanatoa burudani katika safu hiyo kuwa ni Amina Said 'quen Emmy' Nacho Mpendu 'mama Nzawisa' na Amiri Saidi 'Dongo' aidha rapa wa bendi hiyo Romani Mng'ande 'Romario' atawachenguwa mashabiki watakaofika katika onesho hilo wakiongonzwa na mkurugenzi wa bendi hiyo Muhidini Gurumo

Wanamuziki wa bendi ya msondo ngoma wakitoa burudani wakati wa michezo mbalimbali ilioyowakutanisha waandishi wa habari jana kushoto ni Roman Mn'gande Romario na Hamisi Mnyupe.(Picha na Rajabu Mhamila)

Kapteni wa timu ya busines time Elasto Stansalaus akipokea kikombe cha ubingwa wa volebol wakati wa mashindano yaliyowakutanisha waandishi wa habari na kampuni ya BTL kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka 2009.(Picha na Rajabu Mhamila)

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni mbalimbali za vyombo vya habari, wakiburudika na burudani za msondo ngoma zilizokuwa zikitolewa wakati wa michezo mbalimbali ilioyowakutanisha waandishi wa habari jana.(Picha na Rajabu Mhamila)

Teddy
Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano wa Kampuniya bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda (kushoto) akiwapa mahelekezo warembo wanaowania taji la mimi kisura najitambua walipotembelea kampuni hiyo.(Picha na Rajabu Mhamila)

BETHIDAY YA MWANADAFADA OLIVIA.

Monday, December 07, 2009

Olivia akikata keki yake yenye nembo ya Kiss

Huyu mwanadafada anaitwa Jacq, ilikuwa mbishi kufungua shampeni, ila kwa upendo wa dj choka alikubali na akaiweza kufungua.


Haya tugonge Cheerzzzzzzzzzzzz

Watu wengine bwana wasibaki na chupa,

KUJIACHIA TU....

Saturday, December 05, 2009

Jacq na Olivia

Babuu na Olivia

Olivia na B12(Clouds FM)

Olivia na Quick Racka

Chichi na Olivia

Olivia na Romeo

JR na Olivia

Olivia na choka

Jabir na Olivia

Jacq na Choka

Mustafa & Ombeni from G5 Click

Wazee wakujiachia hawa hapa

Olivia akiwa na kaka zake.

CPWAA'S PRE-LAUNCH PARTY.

Thursday, December 03, 2009

Websites launch, Company launch, Clothes launch, Documentary, Xclusive performance,
New song and Video Premier.
Date: 8Th Dec 2009 From 9.00 pm for 15000/= ONLY!

NJOO UJIONEE WATOTO WA KINAIJA NA WAKITANZANIA.

THE MAKING VIDEO YA MANGWEAR "CNN"

Jana majira ya jioni pale maeneo ya Shopperz Plaza kwenye club ya RUNWAY ndipo palipofanyika video mpya ya Mangwear inayoitwa CNN. Washkaji walikuwa kibao cha ajabu kuna watu waliniomba niwapige picha ila nisiandike majina yao.
Video hii imetengenezwa na kampuni ya Kallage's Picture

Aliyesimama ni Kallage mwenyewe akiwaelekeza jambo la kufanya

Uhondo wa ngoma uingie kati ucheze..dada huyu aliona hapana ngoja nijivute tu mbele.

Dully uzalendo ulimshinda ikabidi nae ashuke

Ndugu yetu Romeo Jons nae hakuwa nyuma

Kallage akiwaonyesha baadhi ya vipande.

Dada yetu mrembo

Dully na Dagma aka 120

Miraji Kikwete na dj choka

Babuu wakitaa na watoto wakali.

flowers

Ndugu yangu Adamu utaliweza hilo chupa

RAS NAS ndani ya Sri Lanka

Ras Nas pamoja na kikosi chake wakiwasili Colombo leo (Jumatano) tayari kwa maonyesho matatu miji ya Colombo na Galle, Sri Lanka, wikiendi hii. Ras Nas anawasilisha Norway na Tanzania vile vile!

Toka kushoto Larry Skogheim (besi, Norway), Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi (sauti na ridhim gitaa, Tanzania), Dag Pierre (solo gitaa, Sweden), Chuck Frazier (solo namba mbili, Houston Texas), Uriel Seri (drums, Ivory Coast), Karlos Rotzen (kinanda, Martinique).

NYIMBO MPYA ZILIZOTUFIKIA.

Ya kwanza nikutoka kwa mzee wetu Zahir Ally Zorro na wimbo wake mpya unaoitwa BARUA PEPE akiwa amemshirikisha mwanadada Stara Thomas.

Wa pili ni kutoka kwa Chidi Beenz na wimbo wake unaitwa CHAGUO LANGU, amefanyika katika studio ya Fishcrab producer akiwa ni Lamar.

Wimbo wa tatu nikutoka kwa O Ten wimbo unaitwa NAFUNIKA amewashirikisha wasanii wenzake Squeezer na Domokaya, wimbo huu umetengenezwa na studio inayoitwa MPOAFRICA

KUTOKA KWENYE FACEBOOK YA LADY JD, Video ya Teja ime leak

Wednesday, December 02, 2009

Hii ni habari kutoka kwa mwanadada Lady JD "Video ya Teja ime LEAK wala sija Release, nashangaa ni nani ameamua kufanya hivyo? Yote kheri tutaendelea tu kukomaa mpaka tuone mwisho"

COVER ALBUM YA VETO.

TRAFFIC LIGHT PARTY.

BABY POWDER PREMIERE- (HOUSTON,TX)


Houston,TX THANK YOU so much for the love, our BABY POWDER HOUSTON premiere was SUPER GREAT, Would like to share this special moment with everybody.. On the other side PLEASE HELP us to pass this massage ,Due to the fact we still haven't secured a theater in Washington DC area JAKE PRODUCTIONS is sadly going to have BABY POWDER PREMIERE at a later date ( NOT DECEMBER 5TH 2009 AS PLANED) We are glad to announce that the other dates are still the same, in this case BABY POWDER premiere next stop is

WICHITA,KS ( DECEMBER 12th 2009)
WARREN THEATER
WEST SIDE

MINNESOTA,MN (DECEMBER 19th 2009)

Thank you

Jake Productions

Message kutoka Bano to all his fans baada ya interview ya J Murder owner wa Tongwe Records Jumamosi on Bongo Flava.

Habarini ndugu zangu watanzania?
I hope kila mtu yu salama.Nimeamua kuchukua fursa hii kuongea na umma juu ya roumuz zinazo nikabili mimi.Ningependa watu waajue kuwa J-RYDA was a close friend of mine hata J-MURDA naye pia.I wonder why wameamua kunifanyia hivyo by this hour?TONGWE was facing a problem by the time producer wao DUKE anaondoka studio so they needed a producer & J-MURDA was a brother of my school mate so ikawa rahisi kunipata mimi.I started producing the songs tongwe kuanzia mwezi march mpaka july.Kukaanza kutokea matatizo baina yangu mimi na the owner coz alishindwa kunilipa pesa za matangazo ambazo zilikuwa zimebaki,tuligombana sana then nkaona ngoja nirudi nyumbani.Nikawa naenda studio when im needed nkawa sijiendei tu.By august nkaanza kumpeleka J-RYDA studio with our fellow producer named carson-g.By 26 of august me nkasafiri kuja kusoma which means me na j-ryda kama kukaa tongwe studio me na yeye its jus only 3 weeks ambazo in real sense hakuna production isiyozidi nyimbo 3 hata kama mtu una usongo gani u cant produce more than 3 songs pre 3 weeks.

Yeye kuclaim me nimeondoka nanyimbo zake its meaningless coz they know dat me nlikuwa nimeproduce nyimbo ngapi before mimi kuondoka tho by the time me naondoka ni nyimbo moja tu ''watoto wa mjini'' ya jos mtambo & chidi benz ndio iliyokuwa imetoka.Alaf ever since i started my music career sijawahi kutengeneza pesa yeyote ile kutoka kwenye music,so i hope u pipo can feel the feeling ambayo i am going through rightnow.

Tukiwa studio kuna vitu vingi sana vinatokea kwa mfano;u can make the whole song alaf ukamsikilizisha mwenzio akupe comments zake then maybe anakwambia the bass haijakaa vizuri then unamwambia put it the way u want,akishafanya then off u go.Sasa beat za style hii zipo nyingi sana ambazo me na RYDA tumefanya ever since kitambo till 2day.Angesema hizo ndio zake kidogo ningemuelewa but he did not do that.

Talking about goodboi,nimerudi ya cyrill and further songs kuwa they are not my art haya aseme but in heart he knows.Nikianza kugombania nyimbo ambazo they are about to fade out ni ujinga!!! kama anaclaim ameproduce si kuna nyimbo mpya ambazo yeye ameproduce do they vary na hizo ambazo nimeproduce?!!!!

Furthermore,alikuwa wapi kusema hivyo muda wote nyimbo zinatoka naenda kwenye interviews sometimes i even forget na ye huwa ananikumbusha dat yo boi u got these interviews and all dat.Siku ambayo me naondoka nakumbuka niliwatumia texts yeye na our other fellow CARSON -G dat i did not take them to the spot ambayo nlitaka tufike so they shud fight for that coz atleast mimi nimeweza kuwafungulia njia so it wili be easy for them to reach up.

3 weeks kabla ya leo ilininbox na kuanza kuniambia dat i think its time for him to go on alone with the music career so its like he duznt need me anymore.Ila kama ni goodtymes tule pamoja kama kawaida.The way nilivyomuelewa mimi its like alikuwa ananidump, nkamwambia poa.We were talking about so many things even future projects and all dat so dat means kulikuwa hamna tatizo lolote.

J`mosi ambayo wamefanya interview usiku wake we were on facebook chatin as if he did not do anything to harm me.Sunday nkaanza kupokea simu kutoka kwa watu tofauti wakiniambia about this,nkasema ngoja niulize imekuwaje.Nkampigia Cyrill and he told me the same thing,nkaongea na dozen ye ndio akaniambia dat they did the interview na wewe so dats why i decided to txt you.Niliongea na nick wa pili na watu kadhaa kila mtu akawa anashangaa.

Nway,

They shud come up with a new plan ya kuinyanyua studio but not kuwa mislead my pipo.And kuhusu nyimbo kudistribute online!
naomba wanitajie hizo webs ili nizidistribute kweli sasa without a doubt coz itakuwa haileti maana kama nikizificha tena.And i promise them kila baada ya siku 3 ntakuwa nazitoa kweli.Wanitajie web moja tu nifanye kazi yangu.
Kukaa kunipakazia vitu vya ajab ni si busara njema kwani ni kunidhalilisha na si kuniaibisha.Kama wanataka kunyanyua studio kwa style ya roumuz studio itakufa mapema sana.Alaf J-MURDA anasahau kwamba nilikuwa shule nkawa naproduce nilipohitajika shule nkaacha kuproduce which means hata RYDA nae atakuwa studio and then ataondoka kama nilivyofanya mimi.Wanatakiwa wafurahi kwamba i paved the way for them to succeed not to knock me down.

Sitatoa nyimbo hata moja ambayo nimefanya kuanzia 2007-09 so nawaruhusu wazitumie hizo nyimbo ambazo niliziacha zije kutoka baadae,wafute zile tags zangu zote waweke zao its okay i wont mind.I will just start a new page of my music career with not more than 50 songs to say goodbye to ma fans,my music career is over according to me.Sitaproduce anymore song zaidi ya hizo and i will just want to prove them wrong.NITAFANYA HIVI SI KWA KUTENGENEZA BATTLE WITH THEM BALI KWA KUWAFANYA WATENGENEZE VITU VIZURI KAMA VYANGU,KWANI WALIVIONA NI VIZURI NDIO MAANA WANAVIGOMBANIA.

Alaf i got a good msg for them, wasikilize lyrics zangu za nyimbo ya ''ON FIRE'' watajihisi niliwataja wao and its true coz i was prepared for this to happen 1 year ago.So i am forever prepared they shud get a new plan.Money its juss the other side of life so wasichanganyikiwe sana 200,000 kuna millions and billions watu wanashika na still they act cool.

Nawatakia kila la kheri katika maisha yao ya kimuziki.And thanks pia kwa watu wote watakao kuwa bega kwa bega na mimi katika hili.

Thanks to u once again,

Yours,
Bano Stylez Dha General.

NIMETIMIZA NDOTO YANGU YA KUTEMBEA NA FARASI.

Tuesday, December 01, 2009

Mwanadada Besta juzi kati ilikuwa siku yake yakuzaliwa, Besta anasema "nimetimiza ndoto yangu ya kuride a horse on my b,day! it was just a private party on a beach"

Hapa nikiwa juu ya farasi.

Nawapenda mashabiki wangu wote na msione kimya sana ujue kina mshindo,

MCHUMA WA LADY JAY DEE NDIO HUU.

Msanii wa bongo fleva anayemiliki band ya Machozi, Lady JD amenunua kitu cha Nissan Murano ndicho mchuma anaotembelea town kwa sasa. Kwa hapa kwetu gaari hizi zinahesabika kwa kweli, big up sister kazi zako tunazikubali.

WHO IS THE BEAUTY OF THE WEEK.

Monday, November 30, 2009

Anaitwa Teddy Kalonga, top model anayetesa kule kwa wenzetu na anaonekana sana kwenye video za wasanii wa kule ugaibuni.

Huyu anaitwa Cynthia Masasi kimwana toka pale jijini Mwanza ila kwa sasa makazi yake yapo nje ya nchi, pia huyu ni model mkubwa tu na alienda huko kitambo sana.

VOTE KWA YULE UNAYEMUONA ANAFAA KUWA BEAUTY KWA WIKI HII.

DJ CHOKA PRESENT HANDSOME OF THE WEEK.

Huyu ndiye Babuu wakitaa, na ndiye handsome wetu kwa wiki ile iyopita, Babuu alikuwa anashindana na Adamu Mchomvu na alimzidi kwa kupata kura 30(57%) na Adamu yeye kupata kura 22(42%.) Asanteni kwa wadau wote wa Blog hii kwa kuvote.

QUEEN OF DANCEHALL NIGHT

Jumamosi hii pale Zhong Hua Garden patakuwa hapatoshi kwani atatafutwa kimwana anayejua kucheza mziki wa Dancehall, so don't miss hiki kitu cha kuukaribisha mwezi wa 12.

KILA JUMAPILI USIKOSE KUITEMBELEA BAND YAKO YA TOPBAND.


Inter-College Special 2009 YAACHA GUMZO MAENEO YA KAWE.

D' Banj akiwa na mwenzake kutoka Nigeria walifanya show nzuri na ulipofikia wimbo wa Falling Love sidhani kama kuna mtu alikaa chini.

Belle 9 ndio msanii aliyefungua dimba la wasanii wa east africa kuingia kwenye jukwaa.

Kijana marlaw aliwakilisha vizuri kwa kuimba na kulitawala steji

Quick Rocka msanii ninayemkubali alipanda stejini akiwa na nguvu zote huku kwenye mtambo alikuwa dj choka akimfanyia show yake, usipimeeeeeeee

Nyomi hilo

B Dozen, B12, B Twangala, the KinG of afternOOn shOw akiwa kwenye jukwaa.

Braza wa Ma crank Cpwaa niliipenda show yake

Ally Kiba mzee wa Pamba, Mutu wa watu,

TID aka Top In Dar aka Top in Jail akiwa kwa steji

Joh Makini mwamba wa kaskazini alipanda kwenye steji na msanii wenzake wa Atown Gnako, na show aliyoitoa usiipimie kabisaaaaaaa

Gnako aka G gwala gwala.

Yuko Kerorooooooo, nikutoka Nairobi - Kenya anaitwa Nonini alipata shwangwe zakutosha kabisa

Kutoka Nairobi tena anaitwa Nameless akiwaambia mabinti huwa anasinzia akiwa anawawaza.

Mpango mzima ukafikia kwa Cowbama Mangwear alipopandishwa na dj choka 4 da 1 & 2, show ilikuwa kali zaidi alipopanda mtoto wa kitaa BAbuU.

Piga Nduruuuuuuuuuuuuuuu, ikafikia zamu ya Jua Kali kutoka Nairobi - Kenya, show ilikuwa poa sana na nduru zilisikika kila kona, BIG UP BRO.

SHAVU LA Inter-College bUSH.

dj choka na romeo jons

Odile na Producer Luchi

Steve Kafaya(East Radio) &
B12 (Clouds FM), hawa ndio waliokuwa ma MC wetu kwa siko hiyo.

Belle 9 na Mangwear

Nisikilize mimi wewe dogo, huo ndio mkwara aliokuwa anapigwa nao Romeo na Babuu wakitaa.

Unabishaaaaaaa.

Neema, dj choka & Annie

TID, CPwaa & Mangwear

Nonini, djchoka & Nameless

Romeo, Mangwear, Quick Rocka na B12

Top Band

Babuu wa kitaa, Ngwear, Ludewa na Nas 3

THT Dances

MCHANA HUU D BANJ ALITEMBELEA VIWANJA VYA TTC

Friday, November 27, 2009

Huu ni mkutano uliofanyika mchana huu na kuzungumzia show nzima kwa jinsi itakavyokuwa kesho pale Tanganyika Packers Ground (Kawe). Tamasha hili ambalo limepewa jina la STR8MUZIK - Inter-College Special 2009 litakuwa na wasanii kibao wakiongozwa na D Banj (Nigeria), Nonini, Juacali and Nameless (Kenya), Mangwea, T.I.D, Quick Racker, Belle 9, Marlaw, Cpwaa,Joh Makini , THT, BEST FRIENDand 2 Suprise artist

Nonini akifuatilia habari kwa ukamilifu.

D Banj alikuwa ananiuliza kuhusu chakula gani ale ashibe coz mimi najiita Mr. Apetite.

Jukwaa lenyewe ndio hili likiwa kwenye hatua za mwisho.

HABARI ZILIZONIFIKIA HIVI PUNDE ZINASEMA
TIKETI NI SH 3500/= NA UTAPATA BIA 3 MLANGONI...hii ni Eid Adhuhuna
Ilaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

SHOW ME WHAT YOU GOT SON.

INGAWA AMEZALIWA LEO..

Jay Moe msanii mwenye kipaji pekee akiwa amezaliwa leo jamaa nilimtafuta na akaniambia hayupo Dar yupo porini huko akiwa na wasanii wenzake Ferooz na Afande Selle. Jay Moe ameniambia leo wanapiga KARAGWE, kesho kwenye sikukuu ya Eid wanapiga BUKOBA mjini halafu mchakamchaka unaendelea NGARA, CHATO, GEITA, SHINYANGA na NZEGA.

BUSTA RHYMES HAKUREMBA ALIPOINGIA KWENYE JUKWAA LA FIESTA ONE LOVE 09.




PART 2.


TANZANIA & KENYA INDEPENDENCE DAY.

KWA WALE WOTE WAPENDA RAGGA & REGGAE.

Thursday, November 26, 2009

Kituo kipya cha maraha kimefunguliwa na hii ni kwa wote waliokuwa wanamiss kuruka kwanja za Ragga & Regga, hii itakuwa kila Ijumaa maeneo ya Hunters Club.

VICHWA VIWILI VINAKUTANA KESHO.

Njoo utizame show kali yenye kuunganisha vichwa viwili namzungumzia Fid Q na Mzungu Kichaa, mahali ni pale Russian-Tanzania Cultural Center (Ocean View) kuanzia saa tatu usiku

WIMBO MPYA WA NAKO 2 NAKO.

From A-City To Dar City…. Lord, Gnako and BuNako are hot regardless of location. In two years time they have gon thru major deterioration from group disintegration to internal conflicts. But cleaning up their act with good music is what hip hop is all about. This is their second release this year and its from B’Hits music. The first release was more educational but this one is all about having a good time….NDANI YA NYUMBA

ZIARA YA FID Q MJINI BAGAMOYO (KAOLE).

Huu mti unaitwa Mbuyu una miaka mingi sana tena umeshavuka karne.

Aliyekaa katikati ni Makamua msanii wa bongo fleva ambaye kwa sasa yuko Bagamoyo anakula kitabu kidogo, tulimkuta huku na tukamuomba tuwe nae katika kujifunza mambo mawili matatu, hapa tulikuwa tunapewa somo kabla yakuanza kutembea.

Shabiki wa Fid Q akiwa na bwana farid

Kama unavyojionea makaburi ya viongozi wa zamani, hapa tuliambiwa kaburi lenye mnara mrefu kuliko wenzake basi huyo alikuwa kiongozi mkubwa sana kwa wakati huo.

Michael wa Babkubwa akiwa na Edmond Azaza, hawa nao tulikuwa nao katika safari yetu.

Hapa alipokaa dj choka ni Kaburi la mke na mume (Wapendanao), kaburi hili wamezikwa mume na mke waliokufa siku moja kwa ajali katika bahari ya Hindi na kuzikwa kwa Pamoja.

Fid Q akiwa kwenye pozi la kihistoria nyuma yake ndio hayo makaburi ya watu wazamani.

Hapa washkaji walikuwa kwenye kisima ambacho hakijawahi kukauka maji na wanasema maji hayo huwa yapo hivyo hivyo hata huyapunguze vipi, washkaji wakinawa kwa pamoja.

Fid Q akichota na yeye hayo maji na kuanza kunawa, picha hii walikuwa wakinawa na Michael aka M X

Timu nzima iliyomsindikiza Fid Q ikiwa kwenye pozi la pamoja.

Baadae tuliingia kwenye gereza ambalo mababu zetu walikuwa humo, hapa fid akiwa anaionyesha picha ya ABUSHIRI, huyu alikuwa mfanyabiashara mashuhuri katika eneo la mwambao mwa afrika ya mashariki kuanzia Bagamoyo hadi Tanga.

Hapa ni nje ya gereza hilo kama unavyojionea sanamu la mfungwa akiwa amebeba pembe ya ndovu.

Unabishaaaaaaaaaaaa... baada ya kuzunguka kote tukapitia msosi kidogo, mimi hapa ndio nashiba. Kaa humo

MAHALI PA KUJIRUSHA SIKU YA EID EL HAJJ.

BANGI MARUFUKU KUVUTWA BONGO REC.

P. Funk Majani amepiga marufuku uvutaji wa bangi kwenye studio yake ya Bongo Rec, jana majira ya jioni nilimtembelea na kukuta karatasi iliyobandikwa kwenye mlango wakuingia studio.
Hapa alikuwa anaonyesha msisitizo wa nguvu na ole wako ubisheeeeee

Kama unavyoliona hilo karatasi hapo pembeni kulia.

SHOW ILIYOFANYIKA KATIKA CHUO CHA SANAA BAGAMOYO (TASUBA - Taasisi ya Sanaa na Utamaduni)

Mashabiki wakiwa jukwaani na mwanadada Ray C

Ray C

Fid Q ndio msanii aliyefunga show kwa siku hiyo.

Lord Eyez & dj choka

Michael na dj choka.

NANI UNAMUONA YUKO HANDSOME KATI YA HAWA HAPA KWA WIKI HII.

Wednesday, November 25, 2009

Adam Mchomvu ni mtangazaji kutoka katika radio ya Clouds FM na Babuu wakitaa yeye ni msanii wa bongo fleva napia anafanya kazi pale Clouds TV.

UNAWEZA KUVOTE KWA MTU ANAYEMPENDA HALAFU WIKI IJAYO TUTAMTAJA MSHINDI.

DJ CHOKA PRESENT BEAUTY OF THE WEEK.

Huyu ndio Beauty wa wiki iliyopita anaitwa Angeris ambaye alikuwa anashindana na mwenzake Gitta. Kura zenu zinasema hivi Angeris alipata kura 45 (63%) huku mwenzake Gitta alikuwa na kura 26 (36%) so mshindi ni ANGERIS big up dada yangu utunze huo u beauty wako.

SHUKRANI KWA WADAU WANGU MLIOKUWA MNAVOTE.

TRUE LOVE.



Jux - Nimedata (NEW VIDEO)